Wednesday, June 13, 2012

TANZANIA FOOTBALL NEWS: DAMAYO ASAJILIWA KWA KITITA CHA MILIONI 20 YANGA


H
abari rasmi kutoka kwenye kamati ya usajili ya klabu ya Yanga ni kwamba timu hiyo leo imekamilisha usajili wa kinda la timu ya taifa ya Tanzania aliyeng'ara kwenye mchezo wa jumapili iliyopita dhidi ya Gambia Frank Domayo.

Domayo ambaye alikuwa akiichezea JKT Ruvu msimu uliopita, amesaini mkataba wa miaka 3 kuitumikia Yanga, huku akilipwa shilingi millioni 20 kama ada ya usajili na atakuwa akilipwa shilingi millioni moja kama msharaha kwa miaka 3 ijayo.
https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7666991204659384237-4081235956248052425?l=www.shaffihdauda.com

No comments:

Post a Comment