Saturday, June 30, 2012

GLOBAL NEWS: YIT-SHAK SHAMIR AFARIKI DUNIA

Waziri Mkuu we Zamani wa Israel YIT-SHAK SHAMIR amefariki dunia mjini Tel Aviv akiwa na umri wa miaka 96.
 
Shamir alichaguliwa kuwa waziri mkuu mara mbili, mara ya kwanza ilikuwa 1983, na mara nyingine 1986.  Alikuwa mtetezi wa makazi ya Wayahudi na alipinga mabadilishano ya maeneo na Wapalestina. Anatarajiwa kuzikwa sambamba na kaburi alilozikwa mke wake huko Jerusalem kesho Jumatatu.

No comments:

Post a Comment