Saturday, June 30, 2012

TANZANIA FOOTBALL NEWS: PIUS KISAMBALE SASA COASTAL UNION

Klabu ya Coastal Union imeendeleza balaa kwenye usajili, baada ya juzi kumsainisha kiungo Pius Kisambale kutoka Yanga, Klabu hiyo imemsainisha mchezaji Othman Omary kutoka timu ya Taifa ya Zanzibar aliyekuwa akiichezea klabu ya wanajeshi ya JKT Oljoro.

No comments:

Post a Comment