Mkuu wa mkoa wa Dar es Salam Saidi Meck Sadik (kulia) akipokea mwenge wa Uhuru kutoka kwa mmoja wa wakimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa Bi. Tatu Saidi Mussa leo jijini Dar es Salaam . Mwenge wa Uhuru umewasili jijini Dar es Salaam ukitokea Mkoa wa Kusini Pemba.
Picha na Aron Msigwa - MAELEZO
No comments:
Post a Comment