W |
Katika mahojiano maalum mchana wa leo na Redio Mbeya FM katika kipindi cha Bongo East 360 kinachoendeshwa na Stanslaus Lambert na Smart “B” wamesema wadau wa muziki huo wakiweka uzalendo mbele vipaji vitaonekana na kukua.
Wasanii hao wanajiandaa na CONCERT la Juni 24 , 2012 litakalofanyika VIBE CLUB.
WASANI HAO WALIKETI KATIKA VIUNGA VYA HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA
No comments:
Post a Comment