Kwa nyakati tofauti Kocha wa timu hiyo Maka Mwalwisi na Katibu wa MREFA Laurence Mwakitalu wamsema timu ya sasa ni nzuri kuliko maelezo kutokana na mwamko wa soka mkoani humo.Hivyo basi changamoto inayowakabili ni huduma za msingi kwani wanapenda kuona vijana hao wakisonga mbele katika kuendeleza vipaji vyao kwa kupata mahitaji muhimu wawapo katika michuano hiyo.
Tuesday, June 19, 2012
MBEYA UPDATE: WADAU WA SOKA WATAKIWA KUISAIDIA TIMU YA COPA COCA COLA
Kwa nyakati tofauti Kocha wa timu hiyo Maka Mwalwisi na Katibu wa MREFA Laurence Mwakitalu wamsema timu ya sasa ni nzuri kuliko maelezo kutokana na mwamko wa soka mkoani humo.Hivyo basi changamoto inayowakabili ni huduma za msingi kwani wanapenda kuona vijana hao wakisonga mbele katika kuendeleza vipaji vyao kwa kupata mahitaji muhimu wawapo katika michuano hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment