Friday, June 15, 2012

GLOBAL NEWS: SIKU YA MTOTO WA AFRICA JUNI 16



Mauaji ya Soweto hujulikana kama Juni 16 yaliyotokea nchini Afrika Kusini, Asubuhi ya Juni 16, 1976 wanafunzi wa Shule waliingia mitaani kupinga hatua ya nchi hiyo kwa wakati huo kutaka Lugha ya Kidachi(Afrikaans) kutumika kama lugha ya mawasiliano katika Shule nchini humo.

Akali ya wanafunzi 20,000 waliingia mtaani kupinga na asubuhi hiyo tu waliuawa wanafunzi 176. Mpaka hivi sasa ni siku ya Mapumziko katika Serikali ya Afrika Kusini kwa ajili ya kuwakumbuka waliokuwa wakipinga unyanyasaji kutoka kwa Makaburu.

The uprising

On the morning of June 16, 1976, thousands of black students walked from their schools to Orlando Stadium for a rally to protest against having to learn through Afrikaans in school. Many students who later participated in the protest arrived at school that morning without prior knowledge of the protest, yet agreed to become involved. The protest was intended to be peaceful and had been carefully planned by the Soweto Students’ Representative Council’s (SSRC) Action Committee,[12]with support from the wider Black Consciousness Movement. Teachers in Soweto also supported the march after the Action Committee emphasized good discipline and peaceful action.

Tsietsi Mashinini led students from Morris Isaacson High School to join up with others who walked from Naledi High School.[13]The students began the march only to find out that police had barricaded the road along their intended route. The leader of the action committee asked the crowd not to provoke the police and the march continued on another route, eventually ending up near Orlando High School.[14]The crowd of between 3,000 and 10,000 students made their way towards the area of the school. Students sang and waved placards with slogans such as, "Down with Afrikaans", "Viva Azania" and "If we must do Afrikaans, Vorstermust do Zulu".[15]

 

No comments:

Post a Comment