
Miamba iliyopita hatua ya makundi Jamhuri ya Czech (Mshindi KUNDI A) na Ureno (Mshindi wa Pili KUNDI B) watavutana mashati kuwania kucheza hatua ya Nusu Fainali.
Key Match Facts:
- Ureno haijawahi kutwaa Kombe la Mataifa ya Ulaya; Czech imewahi kutwaa Kombe hilo mwaka 1976 ikiwa Czechoslovakia .
- Katika mechi 6 zilizopita Ureno imeshinda mechi 3 na kupoteza 1, Jamhuri Czech imeshinda mechi 4 na kupoteza 2
- Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji wa pili katika timu ya taifa kwa kutupia wavuni mabao 34 nyuma ya Pauleta (Pedro Miguel Carreiro Resendes) ambaye ametupia 47.
- Petr Cech, Milan Baros ana Tomas Rosicky ni maveteran katika timu hiyo ya taifa wakiwa wamecheza zaidi ya 70
1996 Runners-Up, 2004 Semi-Finalist [* 1976 Champions as Czechoslovakia]
Portugal:
1984 Semi-Finalist, 2000 Semi-Finalist, 2004 Runners-Up
LINE UP
CZECH
Possible Starting Line-Up [4-1-4-1]: Cech; Gebre Selassie, Sivok, Kadlec, Limbersky; Hubschman; Plasil, Jiracek, Kolar, Pillar; Baros
PORTUGAL
Possible Starting Line-Up [4-3-3]: Rui Patricio; Pereira, Pepe, Alves, Coentrao; Meireles, Veloso, Moutinho; Nani, Postiga, Ronaldo
No comments:
Post a Comment