P |
roduza Zest Juma wa Moja Moja Records iliyopo Ilemi Darjani Jijini Mbeya amegoma kutoa ushirikiano na Msanii wa Kizazi Kipya Ali Abdul baada ya Ali Abdul kusema hakusaidiwa naye kuingia katika hali ya ubora.
ZAIDI KUHUSU HILI TUTAKULETEA… Stay tuned!!!!!
ZIFUATAZO AMBAZAO WALIPIGWA WAKATI WAKIHOJIWA NA REDIO MBEYA FM Juni 8 , 2012 katika Kipindi kinachowika Jijini Mbeya kwa Redio za Kanda hiyo “BONGO EAST 360”.
MSANII ALI ABDULPRODUZA ZEST, SMART B(MTANGAZAJI WA REDIO MBEYA FM) NA MSANII ALI ABDUL
ISAKA SWALO, CAMAREMAN KUTOKA MAKUNGURU AKICHUKUA PICHA.
SMART B AKIZUNGUMZA JAMBO
PICHA PAMOJA YA ISAKA, STANSLAUS LAMBERT (MTANGAZAJI WA REDIO MBEYA FM) PRODUZA ZEST, MSANII ALI ABDUL KUKIN MIZZO
KUKI NIZZO AKIZUNGUMZA
No comments:
Post a Comment