Saturday, June 23, 2012

MBEYA UPDATE: MISS TALENT SEASON 1 YAFANYIKA


M
iss Talent Season I imefanyika katika viwanja vya Maisha Plus Jijini Mbeya kwa kuwapata warembo wawili ambao ni Miss Nanji wa Sekondari ya LEGICO na Pretty Angel  wa Sekondari ya Siuthern Highlands jioni hii.
 PRETTY ANGEL
 MISS NANJI

Miss Talent Season I imelijikita katika kutafuta Mrembo na Msanifu wa Mavazi ndani ya “Black Talent Event”

Black Talent Event imeanzishwa katika harakati ya kutafuta vijana kwa mtu mweusi ambaye katika ulimwengu huu wa Utandawazi ameonekana kituko.

Katika Event hiyo kimeshuhudiwa Burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii wa muziki kutoka mkoani Mbeya.

No comments:

Post a Comment