Kilele cha Siku ya Mtoto wa Afrika ni Kesho kwa Mataifa yote barani Afrika yaliyo chini ya Umoja wa Afrika (AU) ambapo leo Jijini Mbeya Shirika lisilo la kiserikali la Child Support Tanzania limefanya matembezi ya Hiari kuadhimisha siku hiyo. MGENI RASMI ni Askofu wa Anglikana Dayosisi ya Nyanda za Juu Kusini John Mwela
ASKOFU JOHN MWELA
MLEMAVU
MKURUGENZI MTENDAJI NOELA SHAWA WA CHILD SUPPORT TANZANIA
MGENI RASMI AKISAINI KITABU CHA WAGENI KATIKA SHAMRASHAMRA HIZO
No comments:
Post a Comment