M |
kazi wa Isyonje aliyefahamika kwa jina la Rasi Mkude (35) amefariki dunia Alhamisi baada ya kugongwa na gari maeneo ya Isyonje wilayani Rungwe Mkoani Mbeya.

Taarifa hiyo imeongeza kusema chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi na mtuhumiwa yupo mahabusu wakati upelelezi zaidi ukiendelea.
No comments:
Post a Comment