Wednesday, June 20, 2012

LEO KATIKA HISTORIA: VITAMIN A-E ZAGUNDULIWA


Miaka 100 iliyopita msomi wa Poland kwa jina la Casimir Funk kwa mara ya kwanza kabisa alifanikiwa kugundua vitamin au virutubisho. Baada ya uhakiki mwingi Dakta Casimir Funk aligundua kwamba vyakula vinavyotumiwa na mwanadamu vina baadhi ya virutubisho (vitamin) ambavyo japokuwa ni vichache sana lakini vina udharura mkubwa katika ukuaji na usalama wa mwili na akaamua kuvipa jina la Vitamini. 

Vitamin zina aina mbalimbali kama vitamin A, B, C, D na E na kila moja ina sifa za kipekee na matumizi ya aina yake katika mwili.

No comments:

Post a Comment