Hatimaye washindi katika EURO Vibe Fans Zone wamepatikana usiku wa kuamkia leo baada ya kushinda maswali waliyoulizwa, katika mechi ambayo Ufaransa walifungasha virago na kurudi PARIS baada ya kunyukwa mabao 2-0 na Hispania
Mwalimu Gwakisa Mwakyami wa St. Aggrey na Richard Kibonde.
No comments:
Post a Comment