Tuesday, January 24, 2012

Celebrity Splits 2012....Talaka zionaongozana tuu..kunani palee?


           Katy Perry na Russell Brand  walioana October 2010 na wameamua kuachana january 2012. Katy Perry ameamua kumfuta Russel katika followers wake in twitter baada ya talaka yao.

    Heidi Klum and Seal   wana 8 years of marriage, four Children, ila wameachana mwaka huu. KISA? Heidi ameshindwa kumvumilia Seal, kwa sababu hawezi kucontrol Temper yake. Seal ameeleza kua, ataendelea kuvaa Pete yake ya ndoa, kama heshima na upendo aliokua nao kwa  aliyekua mke wake.


Fat Joe(Joseph Cartegena) na Wife wake Lorena Cartegena wako ndani ya ndoa for 17 years. Ila mwaka huu, Inasemekana kwamba wanaweza kuachana, kwa sababu Fat Joe anachakachua ndoa yake na msichana mwingine raia wa Dubai. Fat Joe ambae recently amepunguza mwili wake kutoka 160 Kg mpaka 113kg  kwa sasa, hajazungumza lolote kuhusu swala hili. 

No comments:

Post a Comment