
Katibu wa kamati ya uchaguzi ya Yanga Francis Kaswahili amesema wanachama hao wanafanya idadi ya wagombea waliochukua fomu za kuwania nafsi mbalimbali za uongozi katika klabu hiyo kufikia 10 .
Mbali na hao wanachama wengine waliochukua fomu ni pamoja na John Jambele anayewania uenyekiti, huku Ayoub Nyenzi akiwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti.
“Waliochukua fomu kuwania ujumbe wa kamati ya Utendaji mbali na Muhingo na Binkleb ni Isack Chandi, Jumanne Mwamwenye na Salehe Hassan,”alisema.
No comments:
Post a Comment