Thursday, July 5, 2012

Roma close in sealing Bradley deal


AS Romaare extremely close in obtaining the signature of 25-year-old Michael Bradley from Italian side Chievo Verona, according to Goal.com. The sum however, is still unknown. Newly appointed coach Zdenek Zeman requested the player personally after the United States' player contribution towards Chievo's impressive league position, which team managed to finish 10th in the Serie A. Bradley has undergone medical examinations so that he could join the rest of the Roma squad. It is reported that the player will receive a contract worth around 800,000 euros per annum.

HAVE YOU SEEN BRUNEI'S 1ST FEMALE OLYMPIAN?


She's Brunei's 1st ever Olympian...though her time of 01:01:14 in the 400meters was not good enough to qualify her for the 2012 London Olympics, the International Olympic Committee enacted the clause "International Concept of Universality".

Maziah Mahusin, who will represent the Southeast Asian nation of Brunei Darussalam is the 1st Female athlete to represent the Islamic nation. Hear her:
“I know it’s not fast, but it’s the best for me to date,” she told TIME.
“I am working on improving my time to one that my coach and I can be proud of.”
On the impact her appearance will have on the orientation back at home, she said:
“Some parents discourage their children from giving full attention to sports as they are concerned that this may affect their studies.”

TANZANIA SOCIAL NEWS: PINDA ZIARANI RUVUMA KESHO


Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu anawatangazia wananchi wa mkoani Ruvuma kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Peter Pinda (Mb) atafanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Ruvuma kuanzia kesho tarehe 06 Julai 2012 hadi tarehe 07 Julai 2012.

Akiwa mkoani Ruvuma Mheshimiwa Waziri Mkuu atafanya kazi ya kuzindua kampeni ya Kimkoa ya matumizi ya matrekta makubwa katika kilimo ili kuhamasisha Jamii kutumia zana bora za kuongeza uzashalishaji wa mazao na hatimaye kuinua uchumi wa wananchi.

Aidha katika ratiba ya ziara hiyo Mheshimiwa Waziri Mkuu atapokea taarifa ya mkoa ya shughuli za maendeleo , taarifa ya maendeleo ya Chama Tawala CCM ,atapokea taarifa ya shamba na kukagua maandalizi ya kilimo cha kahawa katika kijiji cha Lipokera na hatimaye atapata fursa ya kuongea na wananchi wa mkoa wa Ruvuma kupitia wananchi wa Manispaa ya Songea katika viwanja vya Zimanimoto.

Wito unatolewa kwa wananchi wa Manispaa wa Ruvuma na vitongoji vya jirani kujitokeza kwa wingi katika kumlaki na kumsikiliza Waziri Mkuu atakapowasili na akapokuwa katika maeneo ya kazi kama ratiba yake inayoonyesha.

MBEYA UPDATE: AJIRA 100 ZAMWAGWA NEW IMARA SECURITY


KAMPUNI ya New Imara Security yenye makao yake makuu Jijini Mbeya imemwaga ajira kwa watanzania 100 ambao wana mafunzo ya Kijeshi wakiwemo waliofuzu mafunzo ya Skauti.

Akizungumza jana na waandishi wa habari ofisini kwake, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo Essau Kamwela alisema kuwa watanzania hao watafanya kazi katika mikoa mbalimbali ya Tanzania Bara ikiwemo mikoa ya  ya Dar es Salam, Mbeya, Dodoma, Lindi, Iringa na Mtwara.

Mkurugenzi huyo alisema wenye mafunzo hayo wanaohitaji kazi ya ulinzi kupitia kampuni yake wajitokeze na si kwa kusema kuwa wanao uzoefu bali yeyote ambaye amepitia mafunzo ya Kijeshi na kustaafu katika Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), JKT, Polisi, Magereza na waliohitimu mafunzo ya Mgambo na Skauti.

Alisema kwa wenye nia ya dhati ya kufanya kazi hiyo ya ulinzi katika kampuni yake wafike katika ofisi za kampuni hiyo zilizopo eneo la uwanja wa Sokoine Mbeya mkabala na benki ya NBC na wale waliopo mkoani Mtwara wafike katika ofisi za kampuni hiyo zilizopo eneo la Barabara ya Soko kuu na mkoani Lindi, Dodoma, Dar es Salaam, Iringa na Njombe wafike karibu katika matawi ya ofisi za kampuni hiyo.

Mkurugenzi huyo ametanabaisha kuwa lengo lake ni kuondoa tatizo la ajira kwa askari wastaafu na wenye taaluma hiyo ya kijeshi ambao watasaidia katika suala zima la ulinzi shirikishi na kujiongezea vipato vyao na familia.

Alisema watakaoajiriwa ni wale tu waliopitia mafunzo ya Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jeshi la kujenga Taifa (JKT), Polisi, Magereza na wale waliopita mafunzo ya jeshi la Mgambo na Skauti na waliowahi kufanya kazi na kustaafu huwa wanatakiwa kwenda na barua zao za kustaafu kwao ndipo watapata ajira.


Sanjari na hayo alitoa wito kwa wadau wa kampuni za ulinzi kuwa wanapopelekewa askari ambao wanamashaka nao, wanatakiwa kutoa taarifa kwa viongozi wa makampuni husika wanayoingia nayo mikataba ili kubadilishiwa walinzi kwa ajili ya usalama wa mali zao.

Kamwela ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa chama cha wamiliki wa makampuni ya ulinzi Tanzania Tanzania Security Industry Association (TSIA) kanda ya Nyanda za juu kusini Essau Kamwela, alisema jamii inapaswa kubadili fikra na dhana iliyojengeka ya kuwadharau askari wanaozitumikia kampuni hizo kwasababu walinzi hao bado ni askari wakakamavu sawa na walioko Serikalini.

MBEYA UPDATE: MGANGA WA TIBA ASILIA AUAWA MBOZI


Mganga mmoja wa tiba ya asilia  aliyefahamika kwa jina la Mwendapandi Mwafogo(78) ameuawa na watu wasiofahamika katika kijiji cha Sesanga Wilayani Mbozi  Mkoani Mbeya kwa tuhuma za kishirikina.

Kamanda wa polisi mkoani mbeya Diwani Athumani amesema tukio hilo limetokea  mnamo july 3 mwaka huu majira ya saa nne za asubuhi katika kijiji cha Sesanga wilayani humo.

Athumani amesema kuwa mwili  wa marehemu ulikutwa umetupwa katika mto Harungu  ukiwa umenyogwa  na jeraha kubwa usoni, huku  mikono na miguu ikiwa imefungwa kwenye baiskeli yake.                                           

Hata hivyo Bw.Diwani amedai kuwa  marehemu anatuhumiwa kuwa  mchawi kwani alikuwa  anawasaidia wachawi kuloga watu kijijini hapo.

Aidha Bw.Diwani ameitaka jamii kuondokana na imani potofu za kishirikina  ikiwa ni pamoja  na kutojichukulia sheria mkononi.      

MBEYA UPDATE: AFARIKI KWA KUTUMBUKIA KATIKA SHIMO LA MAJI MACHAFU


Mtoto mmoja aitwaye Bonifance  Edward mkazi wa kijiji cha Ilolo  jijinj Mbeya amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye shimo la maji machafu wakati akicheza na watoto wenzake.

Kamanda wa polisi mkoani Mbeya Bw.Diwani  amesema tukio hilo limetokea julai 3 mwaka huu majira ya saa nane mchana katika eneo la Ilolo jijini hapa.

Diwani amesema kuwa mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya Rufaa mkoani Mbeya.

Katika hatua nyingine  Bw Athumani amewataka wazazi na walezi kuhakikisha mazingira yanayo wazunguka watoto na jamii kwa ujumla kuwa salama ili kuepukana na matatizo kama hayo.

TANZANIA SOCIAL NEWS: VYAMA NDANI YA KANISA KUKAGULIWA


Wizara ya Mambo  ya Ndani ya Nchi,  itaanza zoezi la kutembelea na kuhakiki Vyama vya Kijamii ambavyo  vimesajiliwa na Wizara hiyo ili kuhakikisha kuwa vyama hivyo vinafanya shughuli zake kwa mujibu wa matakwa ya Sheria ya Usajili wa Vyama.Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Sheria na Usajili wa Vyama vya Kijamii katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Numbilya Mpolo amesema kuwa zoezi hilo litaanza mwezi Agosti mwaka huu.


Akizungumza katika Banda la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam ambapo Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa yanaendelea, Mpolo alisema mambo yatakayokaguliwa ni uhai wa Vyama hivyo na utekelezaji wa Katiba zake kama zilivyosajiliwa.Mambo mengine yatakayokaguliwa ni kama Vyama hivyo vinalipa ada ya kila mwaka kwa mujibu wa Sheria, na pia utekelezaji wa matakwa ya Sheria ya kufanya vikao vya Chama na kuandaa taarifa za fedha ambazo zinapaswa kuwasilishwa kwa Msajili wa Vyama kila mwaka.

Amesema hatua za kisheria zitachukuliwa kwa vyama vitakavyobainika  kukiuka masharti ya Sheria za uendeshaji wake, ikiwa ni pamoja na kupewa notisi za kusudio la kufuta chama husika.Kwa mujibu wa Sheria za Vyama, chama kitapewa notisi ya kusudio ya kukifuta, na ikiwa hakitatoa hoja kwa nini kisifutwe, ndani ya siku 21, basi Msajili wa Vyama anaweza kutoa notisi ya kukifuta chama, na baadaye kutoa tangazo la kukifuta chama hicho, katika Gazeti la Serikali.Akizungumzia kuhusu malalamiko yanayopokelewa na Msajili wa Vyama, Mpolo amesema ni pamoja na taarifa za migogoro inayotokana na kugombea madaraka na pia ubadhirifu wa fedha katika baadhi ya vyama.

Kuhusu Vyama ambavyo vinabadilisha Katiba zao bila mabadiliko hayo kukubaliwa na Msajili, amesema Katiba kama hizo hazitambuliki kisheria.Amesema hadi sasa  jumla ya Vyama vya Kijamii 6,469 vimesajiliwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na kati ya hivyo 875 ni Taasisi za kidini.Amesema zoezi la kusajili Vyama vya Kijamii bado linaendelea na wananchi wenye mahitaji ya kusajili hivyo wanaweza kuwasiliana  na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakati wowote ili kupata huduma hiyo.

Arsenal shareholder blames board


Arsenal second largest shareholder said that Van Persie did not sign a new deal because of the new board, where he criticized them hugely. In fact Red and White Securities Limited (held by Alisher Usmanov and Farhad Moshiri), wrote a letter to the board questioning their ambitions and also questioning whether this will happen again, after last year Samir Nasri left Arsenal in a similar manner. In the letter one can truly say that between RWD holdings and Arsenal board, including Ivan Gazidis, there are a lot of differences. In the letter one can find that Usmanov criticized that the financial model that the board adopted for the club worked 10 years ago, but not in this time, were players are going away to their main competitors. He said that that policy was good for the club when they needed to build a new stadium, but now they must ensure that they will win trophies, and not making millions in their pockets.

Steven Caulker agrees to Tottenham's deal


Steven Caulker signed a new deal with Tottenham that will keep him with the club until 2016. Caulker was always with Tottenham from the day he turned professional, but he spent the past seasons on loan with other clubs to gain experience. His last loan deal was with Swansea, who was a really impressive one, as he played well, and this was appreciated by being called-up to the GB Olympic team. There were talks that Swansea could keep the player for at least another season, but Tottenham secured their young talent, and the coach wants him to start playing with Tottenham. Tottenham already signed the deal of Gylfi Sigurdsson from Swansea, which is the first signing of the new coach Andre Villas-Boas. The player said that although he's happy with the deal, he wants to concentrate on the performances of the GB team.

Goal-line technology will probably be used (UPDATED)


The goal-line technology will be discussed in a meeting in Thursday, as most probably the technology will be used, but International Football Association Board must give it the go-ahead. The results of the tests will be made available during the meeting, and after the results of the hawk-eye (similar to the one used in tennis) will be viewed, they will decide whether to accept it or not. The English and Scottish Premier Leagues are set to be among the first to introduce it. Many countries are in favor of this technology, however Michel Platini is not, and he confirmed this more than once. The law change needs the majority of votes to pass. the premier league already put an application to introduce such technology from 2012-2013, but it was stated as too soon, but the possibility of technology will be used in mid-season is present. The desire for this technology sparkled once again after Ukraine were denied a goal against England, when the ball seemed to have entered the goal-line, which however the referee assistants failed to spot. Roberto Di Matteo is one of the managers who said that the technology is really needed, as these incidents are becoming more and more apparent.



Update


The technology is approved and will be used first in the FIFA Club world Cup in December.

Tatuaje-povesti scrise in suflet


Daca ati primit urmatoarele intrebari:
1.Sunt reale?
2.A durut?
3.Pot sa le ating?
4.Ce cred parintii tai?
5.Ce cred copiii tai?
6.Reprezinta ceva?
Inseamna ca aveti tatuaje.Sunt povesti scrise in piele pentru ca noi,tatuatii,nu am avut timp sa le punem pe hartie.
Raspunsul la 1 intrebare:Da,tatuajele mele sunt pe bune.Si sunt singurele lucruri cu adevarat reale din viata mea.
Raspunsul la a 2 a intrebare:Da,a durut cand au fost realizate.Atat de mult cata suferinta am indurat pana acum in viata asta pentru ca am mers pe principiul-Un barbat puternic nu face ceea ce trebuie ci ceea ce vrea!
Raspunsul la a 3 a intrebare:NU!
Raspunsul la a 4 a intrebare:Tatal meu uraste tatuajele mele si ale lui Alin pana in momentul cand spui ceva de rau fata de cerneala noastra din piele.Atunci devine scutul nostru numarul 1,bastionul nostru,cel mai mare aparator al nostru.
Raspunsul la a 5 a intrebare:Inca nu am copii si daca o sa vina vremea lor o sa-i educ sa nu judece lumea dupa culoarea pielii sau dupa tatuaje.
Raspunsul la a 6 a intrebare:Da.Inseamna totul numai ca nu e albumul tau de poze...








NICKI MINAJ SO HUNGRY, SHE BOUGHT #800,000 NAIRA (#3000POUNDS) NANDO'S CHICKEN IN ONE NIGHT!

Nicki munches away on stage

Award winning singer/rapper Nicki Minaj Nando's restaurant staffs after she ordered £3,000 worth of their tasty take-away chicken in one go after her gig in Manchester last Thursday. Daily Star source close to the singer claimed she ordered 550 chicken legs, 300 chicken wings and 60 bottles of coke, adding it was enough to fill 'a whole car'.

In response A spokeswoman for Nando's restaurant confirmed Nicki is a fan. Hear her:
'A lot of the US artists are fans of Nando’s, like Rihanna,' she said. representative of the rapper said she probably had the order prearranged so she wouldn't miss closing time.

The Nando's in Spinningfield manchester where she made the order

 
'She finished her show at about 12 and she did a signing afterwards. I can't imagine Nando’s would have been open at that time. She was straight off back to America that night,' he said.
'She did a meet and greet thing after the show, and there was some after party that she went to. But I wouldn’t be surprised if she went to Nando's or had a big order from Nando's.'

Nicki's choice meals when on tour are:

For breakfast she has been known to order scrambled egg whites, turkey bacon, toast, Belgian waffles, strawberries, assorted juices and a large fruit platter.
Lunch meanwhile can consist of buckets of spicy fried chicken - no thighs, lot of wings - a large cheese platter, a deli tray filled with cold meats and a set of silverware to help shovel it all down.

With Ass like hers, well no amount of food should be too much.

HISPANIA HAIJAFIKIA UBORA WA KIKOSI CHA BRAZIL MWAKA 1970 - PELE.

Pele.

MCHEZAJI nyota wa zamani wa Brazil, Pele amesema kuwa kikosi cha nchi hiyo ambacho kilinyakuwa Kombe la Dunia mwaka 1970 kilikuwa na wachezaji wengi wenye vipaji ukilinganisha na kikosi cha sasa cha Hispania ambacho kimefanikiwa kutetea taji la michuano ya Ulaya. Akiulizwa kuwa ni timu ingeshinda kati ya hiyo ya Brazil ya mwaka 1970 na Hispania ya hivi sasa nyota huyo wa zamani alijibu kwa kujiamini kwamba kama angekuwa anacheza isingekuwa na shaka kwamba wangeshinda mtanange huo. Hispania ambao wameshinda mataji mawili ya Ulaya mfululizo pamoja na lile la Kombe la Dunia 2010 imekuwa timu ya kwanza katika historia kushinda mataji matatu makubwa ya kimataifa. Ustadi wa kumiliki mpira ulioonyshwa na wachezaji wa Hispania na kuwasadia kutete taji lao hilo umefananishwa na ule wa kikosi cha Brazil cha mwaka 1970 ambacho kilikuwa na wachezaji kama Pele, Rivellino, Gerson, Tostao na Jairzinho ambao walinyakuwa Kombe la Dunia nchini Mexico kwa kuifunga Italia kwa mabao 4-1 katika mchezo wa fainali. Pele alistaafu kucheza soka mwaka 1971 na hakuwepo katika kikosi cha Brazil ambacho kilishiriki michuano ya Kombe la Dunia mwaka 1974 ambapo kilimaliza katika nafasi ya nne.

MJADALA WA GOAL-LINE TECHNOLOGY KUHITIMISHWA LEO.

Sepp Blatter.

MJADALA uliochukua karibu miaka kumi kuhusiana na suala la matumizi ya mfumo wa teknologia ya kompyuta katika mstari wa goli katika mchezo wa soka unaweza kufikia tamati leo katika kikao cha Bodi ya Kimataifa ya mchezo wa Soka-IFAB kitakachokaa. Katika kikao cha leo ambacho kitafanyika katika makao makuu ya Shirikisho la soka duniani-FIFA ajenda kubwa itakuwa ni kuzijadili kampuni mbili ambazo mifumo yake imekuwa ikifanyiwa majaribio katika kipindi cha miezi kadhaa. Kutakuwa na kura nane katika kikao hicho cha IFAB ambapo kura nne zitakuwa za wajumbe wa FIFA na kura moja kwa kila nchi wanachama za Uingereza, Scotland, Wales na Ireland ya Kaskazini na kura zinazohitajika kupitisha mfumo mojawapo ni robo tatu ya kura zote. Rais wa FIFA, Sepp Blatter amekuwa akiwahimiza wajumbe wake kukubaliana na mfumo huo kufuatia tukio lililotokea katika michuano ya Ulaya mwaka huu ambapo shuti alilopiga mchezaji wa Ukraine Marco Devi kuonekana limeokolewa na beki wa Uingereza John Terry mpira ukiwa umevuka mstari lakini mwamuzi aliwanyima bao hilo. Mara baada ya tukio hilo Blatter aliandika ujumbe katika mtandao wa kijamii wa twitter kuwa suala la mfumo wa teknologia ya kompyuta katika mstari wa goli ni suala la lazima katika soka la kisasa. Rais wa Shirikisho la Soka la Ulaya-UEFA yeye ameweka imani katika matumizi ya waamuzi watano katika mechi ambapo waamuzi wawili wanakuwa pembeni ya magoli nayo pia inaweza kupitishwa na IFAB leo.

OMAN HATARINI KUFUNGIWA NA FIFA.

OFA

NCHI ya Oman huenda ikaenguliwa katika mechi za kufuzu michuano ya Kombe ya Dunia 2014 pamoja na kufungiwa mechi za kimataifa baada ya Shirikisho la Soka Duniani-FIFA kukiri kuwa lina wasiwasi na amri ya mahakama iliyotolewa kubatilisha uchaguzi wa Chama cha Soka cha nchi hiyo-OFA. Katika taarifa yake FIFA wamesema kuwa hatua kali zitachukuliwa dhidi ya shirikisho hilo pamoja na timu ya taifa kama matokeo ya uchaguzi uliofanyika mwaka jana chini ya usimamizi wao wenyewe pamoja na Shirikisho la Soka barani Asia-AFC yatafutwa. Uwezekano wa kufutwa kwa matokeo hayo umekuja kufuatia amri ya mahakama iliyotolewa Juni 25 mwaka huu baada ya vilabu vitatu kulalamika na mazingira yaliyoendeshwa uchaguzi huo kuwa sio halali. Taarifa hiyo pia imesema kuwa wanachama wote wa FIFA wanatakiwa kufanya shughuli zao kwa uhuru pasipo kuingiliwa na chombo chochote kingine hususani mahakama katika maamuzi yao. Oman sasa inaingia katika mzunguko wa mwisho wa mechi za kufuzu Kombe la Dunia litakalofanyika nchini Brazil mwaka 2014 kwa upande wa bara la Asia ambapo mpaka sasa wamekusanya alama mbili katika michezo mitatu waliyocheza na timu za Japan, Australia na Iraq.